Tuesday, April 30, 2013
Saturday, April 27, 2013
Thursday, April 25, 2013
Mwasiti Azungumzia Siku ya Malaria, Awaasa Watanzania Kujikinga: SIKILIZA
. Mwasiti Ameyasema Hayo Akiongea na Dkt Joh Katika Kipindi cha Extra Flavour Kinachorushwa na Uplands FM Radio Mkoani Njombe
Msikilize Hapa
Msikilize Hapa
Sunday, April 21, 2013
Wednesday, April 17, 2013
Tuesday, April 16, 2013
Charlz Baba: Tuzo za Kili Hazina Manufaa Kwetu, Zipo kwa Ajili ya Bongo Flavour
Charlz Baba amesema kuwa tuzo hizo hazina manufaa kwao kwa wanamuziki wa dansi kwa kuwa pesa inayopatikana ni ndogo hivyo inakuwa ngumu kugawana kwa wasanii waliopo kwenye band. Akipiga Story na Lilz D kwenye kipindi cha Afro Ngoma kinachorushwa kila siku ya Jumapili Charlz Baba aliongeza kuwa hawawezi kufanya tour ya Kili kwa kuhofia kulipwa hela ndogo
Sikiliza Hapa

Sunday, April 14, 2013
Friday, April 5, 2013
New Track Jaykah Ft Double K - Hisia za Moyoni
Alichokisema Jaykah Kwa Mashabiki Wake Kuhushu Ngoma Yake,
"Ngoma nliyokuwa nimefanya na dogo ally haitokuwepo tena wala kuirelease
kwa sababu zisizoweza kuepukika. So mafans wakae mkao wa kula. Zipo
ntakazo ziachia baada mwenzi wa tano.. Makamuzi kwa sanaa" Sikiliza Hapa
Subscribe to:
Posts (Atom)