Tuesday, April 30, 2013

Thursday, April 25, 2013

Mwasiti Azungumzia Siku ya Malaria, Awaasa Watanzania Kujikinga: SIKILIZA

. Mwasiti Ameyasema Hayo Akiongea na Dkt Joh Katika Kipindi cha Extra Flavour Kinachorushwa na Uplands FM Radio Mkoani Njombe

Msikilize Hapa

Sunday, April 21, 2013

Wednesday, April 17, 2013

Tuesday, April 16, 2013

Charlz Baba: Tuzo za Kili Hazina Manufaa Kwetu, Zipo kwa Ajili ya Bongo Flavour

Charlz Baba amesema kuwa tuzo hizo hazina manufaa kwao kwa wanamuziki wa dansi kwa kuwa pesa inayopatikana ni ndogo hivyo inakuwa ngumu kugawana kwa wasanii waliopo kwenye band. Akipiga Story na Lilz D kwenye kipindi cha Afro Ngoma kinachorushwa kila siku ya Jumapili Charlz Baba aliongeza kuwa hawawezi kufanya tour ya Kili kwa kuhofia kulipwa hela ndogo Sikiliza Hapa

Sunday, April 14, 2013

Friday, April 5, 2013

New Track Jaykah Ft Double K - Hisia za Moyoni


                           Alichokisema Jaykah Kwa Mashabiki Wake Kuhushu Ngoma Yake,
 

"Ngoma nliyokuwa nimefanya na dogo ally haitokuwepo tena wala kuirelease kwa sababu zisizoweza kuepukika. So mafans wakae mkao wa kula. Zipo ntakazo ziachia baada mwenzi wa tano.. Makamuzi kwa sanaa" Sikiliza Hapa