Nyumba ya Chris
Brown Marekani imevamiwa na kupekuliwa na watu watatu waliofunika
nyuso zao ambao walimfungia shangazi wake ndani ya chumba chake
kwa maelezo ya maafisa wa polisi.Maafisa wanasema kuwa washukiwa ambao walikuwa na bunduki waliondoka katika jumba hilo la Tarzana na fedha za kiasi kisichojulikana pamoja na vitu kadhaa vya binafsi.
Brown hajatoa tamko lolote kuhusu tukio hilo.
Hii ni mara ya pili ya nyumba ya Chriss Brown kuvamiwa katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni.
Mwezi Mei, aliwasili nyumbani na kumpata mwanamke mmoja aliyedaiwa kuvunja na kuingia kupika vyakula kadhaa na kuandika ukutani kwamba anampenda msanii huyo
0 Comments:
Post a Comment