
Ofisi
ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imesema hadi
kufikia Juni 30 mwaka huu inatarajia kuajiri walimu 6,000 wa masomo ya
Hisabati na Sayansi kwa ajili ya shule za sekondari nchini.
Kauli
hiyo ilitolewa jana bungeni na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi),...