Sunday, October 28, 2012

Wateja wa mafuta wakisubiri foleni ya mafuta Mkoani Njombe, Nishati Hiyo Imekuwa kitendendawili kwa siku za hivi karibu...

Saturday, October 13, 2012

MRADI WA KILIMO WAZINDULIWA WILAYANI WANGING'OMBE

Mradi wa mwelekeo wa maendeleo ya kilimo katika shirika la maendeleo ya kilimo mkoa wa Njombe la NADO  unaoitwa NADO IN FOCUS leo umezinduliwa rasmi Wilayani Wanging'ombe. Akizindua mradi huo kwa niaba ya mkuu wa Mkoa wa Njombe Afisa Biashara wa mkoa wa Njombe bwana George Lupembe amepongeza jitihada kubwa zinazofanywa na shirika la NADO Katika kuwakomboa wakulima kwa kujiinusuru na kipato...

Friday, October 12, 2012

WAFANYABIASHARA WALAZIMIKA KUAHIRISHA KIKAO NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA

Baadhi ya Wafanyabiashara Mjini Njombe Wakiwa Nje ya Ofisi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe  Wafanyabiashara Mijini Njombe Wamelazimika Kuahirisha Kikao Kilichopangwa Kufanyika Saa 3 Asubuhi Hii Leo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Bwa. Valency Kabelege Baada...

Thursday, October 11, 2012

HALI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA YAREJEA KAWAIDA MJINI NJOMBE

Hali ya Upatikanaji wa Mafuta Katika Mji wa Njombe Imerejea Katika Hali ya Kawaida Baada ya Siku Kadhaa Zilizopita Kutopatikana kwa Nishati Hiyo Muhimu Hasa Mafuta Aina ya Dizeli. Akiongea na Mwandishi wa Blog Hii, Meneja wa Kituo cha Kuuza Mafuta cha Ndime, Clement Mwauling'ombe Mtewele amesema...

Tuesday, October 2, 2012

Wanafunzi 25 wauawa na Boko Haram  2 Oktoba, 2012 - Abubakar Shekahu kiongozi wa kundi la Boko Haram Zaidi ya wanafunzi 25 wameuawa kwa kupigwa...