
Balozi wa Malaria Tanzania na Msanii wa Bongo Flavour Tanzania
Amezungumza na Watanzania na Kuwaasa Kujikinga na Ugonjwa Huo na
Kuwataka Kutumia Chandarua Kwa Matumizi Sahihi
. Mwasiti Ameyasema Hayo Akiongea na Dkt Joh Katika Kipindi cha Extra Flavour Kinachorushwa na Uplands FM Radio Mkoani Njombe
Msikilize...