Friday, April 5, 2013

New Track Jaykah Ft Double K - Hisia za Moyoni


                           Alichokisema Jaykah Kwa Mashabiki Wake Kuhushu Ngoma Yake,
 

"Ngoma nliyokuwa nimefanya na dogo ally haitokuwepo tena wala kuirelease kwa sababu zisizoweza kuepukika. So mafans wakae mkao wa kula. Zipo ntakazo ziachia baada mwenzi wa tano.. Makamuzi kwa sanaa" Sikiliza Hapa

0 Comments:

Post a Comment