Friday, September 29, 2017

SERIKALI YAFUNGIA GAZETI LINGINE

Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la kila wiki la Raia Mwema kwa muda wa siku 90 kuanzia leo. Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbasi amesema leo Alhamisi kuwa agizo hilo pia linahusu toleo la mtandaoni. Dk Abbasi amesema...

Wednesday, September 27, 2017

ASKOFU KATOLIKI YUKO TAYARI KUITWA MCHOCHEZI

Askofu wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu watachukuliwa kama wachochezi. Askofu Niwemugiza amesema yeye kama kiongozi wa dini anaongozwa na maadili, haki na ukweli hivyo hajali namna wengine watakavyomchukulia. Akifungua ...

Monday, September 25, 2017

TFF YAPATA UDHAMINI HUU

Shirikisho la soka nchini TFF, leo Septemba 25 limesaini mkataba na benki ya KCB wenye thamani ya shilingi 325,000,000.  Akiongea wakati wa kusaini mkataba huo Rais wa TFF Wallace Karia amesema huo ni ushahidi kuwa shirikisho lina ushirikiano na wadau mbalimbali wa mpira nchini. Aidha Karia...

MSIGWA AACHIIWA

Mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA), Mch. Peter Msigwa ameachiwa huru kwa dhamana jana usiku baada ya kukamatwa akiwa kwenye mkutano wa hadhara. Msigwa ameachiwa baada ya kudhaminiwa na wadhamini wawili ambao ni Alex Kimbe pamoja na Mwenyekiti wa Bavicha Iringa Leonce Marto , saa nne usiku  Msigwa...

Thursday, September 21, 2017

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MBAO LEO

Klabu ya Simba leo inashuka dimbani ikiwa ugenini jijini Mwanza dhidi ya timu ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara mchezo ambao unachezwa katika uwanja wa CCM Kirumba. Aishi ManulaErasto NyoniMohamed HussenJuuko MurushidMethod MwanjaleJames KoteiNicholas GyanMzamiru YassinJohn BoccoEmanuel...

LORI LA DANGOTE LANASWA NA WAHAMIAJI HARAMU

Wahamiaji haramu wanane kutoka Ethiopia wamekamatwa wakisafirishwa kwa lori la kampuni ya Dangote kwenda Mtwara. Kaimu Kamishna wa Uhamiaji, Edward Chegero amesema leo Alhamisi kuwa, wahamiaji hao walikamatwa Kongowe wilayani Temeke. Amesema wamekamatwa jana Jumatano baada ya idara kupata taarifa...

SERIKALI YANENA KUHUSU MATIBABU YA LISSU

Serikali imesema ipo tayari kugharamia gahrama za matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Antiphas Lissu katika hospitali yoyote duniani, iwapo familia itaomba jambo hilo. Kauli hiyo imetolewa leo na  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ,...