
Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la kila wiki la Raia Mwema kwa muda wa siku 90 kuanzia leo.
Mkurugenzi
wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan
Abbasi amesema leo Alhamisi kuwa agizo hilo pia linahusu toleo la
mtandaoni.
Dk Abbasi amesema...