Thursday, September 21, 2017

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MBAO LEO

Klabu ya Simba leo inashuka dimbani ikiwa ugenini jijini Mwanza dhidi ya timu ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara mchezo ambao unachezwa katika uwanja wa CCM Kirumba.

Aishi Manula
Erasto Nyoni
Mohamed Hussen
Juuko Murushid
Method Mwanjale
James Kotei
Nicholas Gyan
Mzamiru Yassin
John Bocco
Emanuel Okwi
Shiza Kichuya

SUB
Emanuel Mseja
Ally shomari
Salim Mbonde
Jonas Mkude
Said Ndemla
Haruna Niyonzima
Juma Luizio

0 Comments:

Post a Comment