Friday, November 30, 2012

SERIKALI YATAKIWA KUONGEZA BAJETI YA MAHAKAMA

 Serikali Imetakiwa  Kuongeza  Bajeti Katika Idara ya Mahakama  Hapa Nchini Ili Kuepuka  Vitendo Vya Rushwa Kwa  Wananchi  Waendeshaji  Mahakama.Akizungunza na Kituo  Hiki Mwanasheria John Owegi  Ambaye ni Wakili wa Kujitegemea Mkoani Njombe Anesema Ufinyu Wa Bajeti  Katika Mahakama Unapelekea Kuwepo Kwa Mianya ya Rushwa na Kukosesha Haki Kwa ...

SERIKALI INATARAJIA KUZINDUA CHANJO MPYA MBILI ZA WATOTO WACHANGA

Serikali inatarajia kuzindua chanjo mpya mbili za watoto wachanga ikiwemo chanjo ya kuzuia kuharisha na chanjo ya kichomi NIMONIA ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayeitwa STREPTOCOCCUS PNEUMONIAE Ulioonekana kuwakumba watoto wadogo. Akifungua kikao cha semina ya afya ya Mkoa wa Njombe iliyolenga kutoa elimu juu ya chanjo hizo mkuu wa mkoa  wa Njombe Captain Mstaafu Asseri Msangi amewataka...

Thursday, November 29, 2012

Wednesday, November 28, 2012

WAFANYABIASHARA WALALAMIKIA KODI YA MISITU

Msako wa kodi zitokanazo na misitu uliofanyika kuanzia novemba 26 mwaka huu mjini Njombe umepelekea malalamiko makubwa kwa wafanyabiashara kuilalamikia serikali kwa kuendesha zoezi hilo kwa kutumia nguvu.  Hali hiyo imepelekea wafanyabiashara wa bidhaa zitokanazo na misitu ya maliasili kuingiwa na hofu kubwa kutokana na msako huo uliofanyika kwa kutumia jeshi la polisi ambao wamekuwa wakitumia...

Tuesday, November 27, 2012

Tuesday, November 13, 2012

MATOKEO YA WAJUMBE WA NEC YAVUJA DODOMA

MATOKEO ya uchaguzi wa wajumbe wa NEC Uliofanyika juzi mjini Dodoma katika mkutano wa nane wa (CCM) yamevuja.  Mwenyekiti wa chama hicho , Rais Jakaya Kikwete alitangaza jana kuwa matokeo hayo yatatangazwa leo pamoja na matokeo ya nafasi za Makamu Mwenyekiti lakini cha ajabu jana mchana zaidi ya asiliamia 90 ya wajumbe walisha jua matokeo hayo na kwa upande wa wagombea wa bara yakiwekwa na...