Serikali Imetakiwa Kuongeza Bajeti Katika Idara ya Mahakama Hapa Nchini Ili Kuepuka Vitendo Vya Rushwa Kwa Wananchi Waendeshaji Mahakama.Akizungunza na Kituo Hiki Mwanasheria John Owegi Ambaye ni Wakili wa Kujitegemea Mkoani Njombe Anesema Ufinyu Wa Bajeti Katika Mahakama Unapelekea Kuwepo Kwa Mianya ya Rushwa na Kukosesha Haki Kwa ...
Friday, November 30, 2012
SERIKALI INATARAJIA KUZINDUA CHANJO MPYA MBILI ZA WATOTO WACHANGA
Serikali inatarajia kuzindua chanjo mpya mbili za watoto wachanga ikiwemo chanjo ya kuzuia kuharisha na chanjo ya kichomi NIMONIA ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayeitwa STREPTOCOCCUS PNEUMONIAE Ulioonekana kuwakumba watoto wadogo.
Akifungua kikao cha semina ya afya ya Mkoa wa Njombe iliyolenga kutoa elimu juu ya chanjo hizo mkuu wa mkoa
wa Njombe Captain Mstaafu Asseri Msangi amewataka...
Thursday, November 29, 2012
MAPOROMOKO YA MTO RUHUJI MKOANI NJOMBE

Haya ni maporomoko ya mto ruhuji mkoani njombe ambayo hutumika kama kivutio. Hapa chini ni Moja ya mapango ya kijadi ya Nyumba Nitu Mkoani Njombe
...
Wednesday, November 28, 2012
A MAP OF AFRICA
A map of Africa Created on a big Stone found at Njombe Tanza...
WAFANYABIASHARA WALALAMIKIA KODI YA MISITU
Msako wa kodi zitokanazo na misitu uliofanyika kuanzia novemba 26 mwaka huu mjini Njombe umepelekea malalamiko makubwa kwa wafanyabiashara kuilalamikia serikali kwa kuendesha zoezi hilo kwa kutumia nguvu.
Hali hiyo imepelekea wafanyabiashara wa bidhaa zitokanazo na misitu ya maliasili kuingiwa na hofu kubwa kutokana na msako huo uliofanyika kwa kutumia jeshi la polisi ambao wamekuwa wakitumia...
Tuesday, November 27, 2012
MAAJABU YA DUNIA, RAMANI YA AFRIKA IKIWA KWENYE JIWE
Jiwe Hili Lenye Ramani ya Afrika Linapatikana Mkoani Njombe Eneo Ambalo Linatumika Kama Kivutio na J...
VIONGOZI WILAYA YA LUDEWA WATAKIWA KUSIMAMIA MAPATO
Viongozi na Watendaji Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Hususani Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya Wakiwemo Wakuu wa Idara Mbalimbali Wametakiwa Kusimamia Mapato Kikamilifu ILi Kuiongozea Halmashauri ya Wilaya Hiyo Mapato ya Kutosha
Maagizo Hayo Yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu...
Tuesday, November 13, 2012
MATOKEO YA WAJUMBE WA NEC YAVUJA DODOMA
MATOKEO ya uchaguzi wa wajumbe wa NEC Uliofanyika juzi mjini Dodoma
katika mkutano wa nane wa (CCM) yamevuja.
Mwenyekiti wa chama hicho , Rais Jakaya Kikwete
alitangaza jana kuwa matokeo hayo yatatangazwa leo pamoja na matokeo ya
nafasi za Makamu Mwenyekiti lakini cha ajabu jana mchana zaidi ya
asiliamia 90 ya wajumbe walisha jua matokeo hayo na kwa upande wa wagombea wa bara yakiwekwa na...
Subscribe to:
Posts (Atom)