Kama Justin Bieber anaamini kuwa atafika namaba 1 kwenye "Acoustic" Billboard 200, itakuwa ni alama ya mafanikio ya historia ya pili kwa mwimbaji na mtunzi hu...
Kama forecasted wiki iliyopita, rapa $ AP Rokyc ameshika No 1 kwenye chati za Billboard 200 Albamu na albamu yake ya kwanza "Long.Live.A $ AP," kuuza nakala 139,000 na kumfikia Nielsen SoundSc...
Picha za Gari mpya ya Wema Sepetu aina ya Audi Q7 yenye rangi nyeusi zimeonekana kwenye akaunti ya Wema ya Instagram alipokuwa beach hivi karibuni na kuiandikia caption, ‘my baby at da beach.’Pia akaunti ya Martin Kadinda kuna picha ya gari hiyo aliyoiandikia maneno, ‘#maisha sio manhattan…..You...
Hali ni mbaya bwawa linaendelea kujaa majihadi mchana huu Mali na mifugo haikusalimika na bado waathirikawalikuwa wanahangaika kujinusuru
Ni balaa kubwa la mafuriko ya maji hapa Mtwara hii leo maeneo yaMajengo kule eneo la Chuno. Eneo hili ni karibu na nyumba ya MzeeHokororo...
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande
wa Ufaransa katika Ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Champs L’Elyesee
(hutamkwa chanz elezee) jijini Paris leo Januari 21, 20...
SEHEMU ya
ukuta wa kituo cha mabasi ya kwenda mikoani cha Ubungo, jijini Dar es
Salaam, leo alfajiri umeanguka na kuyaharibu vibaya magari zaidi ya
ishirini yaliyokuwa yameegeshwa nje ya eneo hilo. Akizungumza na
waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni,
Charles...
OLIVIA AFUNGUKA JUU YA MAISHA YAKE
Nyota wa zamani wa kundi la G-Unit, Olivia ameeleza kupanda na kushuka
kwa maisha yake katika kipindi kipya cha televisheni cha Love & Hip
...
Destininy's Child likuwa linaunundwa na Beyonce, Kelly Rowland pamoja na Michelle Williams. Kundi hilo ambalo lilifanya vizuri sana kwa miaka ya nyuma ya 1997 na ku-make headline karibu dunia nzima na baadhi ya ngoma zake mfano...
Kutokana na kusambazwa kwa picha kwenye mitandao zikimuonyesha Justin
Bieber akivuta kitu kinachoaminika kuwa ni bangi akiwa na kikundi cha
vijana wenzie
"Kila siku mtu anakuwa wa kujifunza, na najaribu kuwa kijana mwema kwa
kuanguka na kuinuka tena, nimewasikia nyota wengi kamwe...
DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU FUJO ZILIZOTOKEA WAKATI WA SHOW YAKE PAMOJA NA HASARA ILIYOPATIKANA
Usiku
wa january 1 2013 Maisha Club ulikua usiku maalum kwa show ya WASAFI
ambao wanaongozwa na Diamond Platnums, usiku huu umeingia kwenye
Headlines baada ya fujo kubwa kutokea za kurushwa...
Roma Tongwe
NINACHOKUMBUKA SHOW YA MWISHO ARUSHA YA KUMCHANGIA SAJUKI!!
TUKIWA CHUMBANI KWAKE MIMI, WASTARA, DJ CHOKA, YUSUPH MLELA NA
WENGINEO, SAJUKI ALIMSHIKA MLELA MKONO HUKU AKIMTAZAMA KWA
HUDHUNI NA AKAMWABIA "SITAMALIZA SIKU 7 NITAKUWA NIMEIAGA DUNIA"...
Ni alfjiri ya kuamkia leo katika hospitali ya Muhumbili Jijini Dar es Saalam alikokuwa amelazwa msanii wa filamu Tanzania Juma Kilowoko maarufu kama Sajuki ndipo Umauti ulipomkuta.
Ni pigo lingine kwa Watanzania na wapenzi wa Filamu kwa kumpoteza msanii huyu mahiri aliyepoteza uhai baada ya kuugua...