
Destininy's Child likuwa linaunundwa na Beyonce, Kelly Rowland pamoja na Michelle Williams. Kundi hilo ambalo lilifanya vizuri sana kwa miaka ya nyuma ya 1997 na ku-make headline karibu dunia nzima na baadhi ya ngoma zake mfano kama Bills, Say My Name, Survivor na nyingine nyingi ila baadae mwaka 2004 kundi hilo lilivunjika.
Sasa latest news kutoka kwa kundi hilo ni kuwa limerudi tena na sasa hivi lipo mbioni kutoa Album yake mpya kabisa itakayokwenda kwa jina la Love Songs ambayo inatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa mwezi huu Tarehe 29.
0 Comments:
Post a Comment