Monday, January 21, 2013

MVUA YALETA KIZAAZAA MTWARA MSAADA WAHITAJIKA



 Hali ni mbaya bwawa linaendelea kujaa maji
hadi mchana huu Mali na mifugo haikusalimika na bado waathirika
walikuwa wanahangaika kujinusuru

Ni balaa kubwa la mafuriko ya maji hapa Mtwara hii leo maeneo ya
Majengo kule eneo la Chuno. Eneo hili ni karibu na nyumba ya Mzee
Hokororo au Dr Mwakipa. 

.

Hakuna taarifa yeyote ya aliyepoteza
maisha. Msaada wa haraka unahitajika kwa wananchi hawa.wa maeneo hay

0 Comments:

Post a Comment