Monday, January 21, 2013

MAPOKEZI RASMI YA RAIS KIKWETE NCHINI UFARANSA NA RAIS FRANCOIS HOLLANDE



c4
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande wa Ufaransa katika Ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Champs L’Elyesee (hutamkwa chanz elezee) jijini Paris leo Januari 21, 2013
c2Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi aliloandaliwa kwa heshima yake mjini Paris Ufaransa leo Januari 21, 2013 ikiashiria kuanza rasmi kwa ziara yake ya kiserikali ya siku tano nchini humo.
PICHA NA IKULU
c3 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi aliloandaliwa kwa heshima yake mjini Paris Ufaransa leo Januari 21, 2013 ikiashiria kuanza rasmi kwa ziara yake ya kiserikali ya siku tano nchini hum.
c6 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akiwa katika maongezi rasmi na mwenyeji wake Rais Francois Hollande wa Ufaransa na ujumbe wake  katika Ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Champs L’Elyesee (hutamkwa chanz elezee) jijini Paris leo Januari 21, 2013

 

  RAIS KIKWETE AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI UFARANSA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea Watanzania wanaoishi Ufaransa katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo Januari 21, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Watanzania wanaoishi Ufaransa katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo Januari 21, 2013.
Watanzania wanaoishi Ufaransa wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo Januari 21, 2013. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard Membe akihutubia Watanzania wanaoishi Ufaransa katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo Januari 21, 2013. Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar, Said Ali Mbarouk  akihutubia Watanzania wanaoishi Ufaransa katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo Januari 21, 2013. Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo akihutubia Watanzania wanaoishi Ufaransa katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo Januari 21, 2013. Waziri wa Ujenzi, Dkt John Pombe Magufuli akihutubia Watanzania wanaoishi Ufaransa katika ukumbi wa Hotel le Maurice jijini Paris usiku wa kuamkia leo.
   (PICHA NA NA IKULU)

0 Comments:

Post a Comment