Rapper mkali kutoka MWANZA, FID Q ameonekana kuutazama wimbo mpya wa NIKKI MBISHI kama moja ya vitu vinavyoweza kupekea BEEF kubwa kati ya msanii huyo na NEY WA MITEGO ...
AKIONGEA NA MTANGAZAJI DAN CHIBO MTANGAZAJI WA TBC FM,NA HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA
Leo
nilipata nafasi ya kuzingumza na Gadan G Habash ambaye ni Meneja na
Mume wa Mwanamuziki maarufu nchin Lady Jay Dee, sote tunafahamu juu ya
maneno aliyoyasema Lady Jay Dee kama ni Wosia...
Ras Judah wa Reggae Splash ya Radio Uplands FM Radio Njombe Alipiga Story na Ras Inno na Kuelezea Baadhi ya Madhehebu Yanayofuatwa na Marasta na Historia Yake
Hapa Ras Inno Anatitirika....
Balozi wa Malaria Tanzania na Msanii wa Bongo Flavour Tanzania
Amezungumza na Watanzania na Kuwaasa Kujikinga na Ugonjwa Huo na
Kuwataka Kutumia Chandarua Kwa Matumizi Sahihi
. Mwasiti Ameyasema Hayo Akiongea na Dkt Joh Katika Kipindi cha Extra Flavour Kinachorushwa na Uplands FM Radio Mkoani Njombe
Msikilize...
Charlz Baba amesema kuwa tuzo hizo hazina manufaa kwao kwa wanamuziki wa dansi kwa kuwa pesa inayopatikana ni ndogo hivyo inakuwa ngumu kugawana kwa wasanii waliopo kwenye band. Akipiga Story na Lilz D kwenye kipindi cha Afro Ngoma kinachorushwa kila siku ya Jumapili Charlz Baba aliongeza kuwa hawawezi...
Linah Aliyazungumza hayo akipiga stori na Lilz D (Lilz wa Dady Madelemo) katika kipindi cha Xtra Flovour cha Radio Uplands Fm Kinachorushwa kila siku ya Juma 3 hadi Ijumaa saa 7 - saa 10.Sikiiza ha...
Alichokisema Jaykah Kwa Mashabiki Wake Kuhushu Ngoma Yake,
"Ngoma nliyokuwa nimefanya na dogo ally haitokuwepo tena wala kuirelease
kwa sababu zisizoweza kuepukika. So mafans wakae mkao wa kula....
MENEJA wa
Wafanyakazi wa Ndani ya Ndege wa Kampuni ya Fastjet Emma Donovan,
alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam kujibu
shtaka linalomkabili la kutoa lugha ya matus...
Vijana wa Epiq Stars mwishoni mwa wiki hii wameweka historia mkoani
Mtwara kwa kutoa burudani kubwa ambayo itadumu kipindi kirefu vichwani
mwa wana Mtwa...
Sasa ni Papa Francis I !
Papa Francis ahutubu mara ya kwanza
Kadinali Jorge Mario Bergoglio wa Argentina amechaguliwa kuwa Papa mpya wa Kanisa Katoliki.
Kadinali Bergoglio anakuwa...
Mastar wawili kutoka nchini Marekani, Chris Brown na mpenzi wake Rihanna
wameripotiwa kupanga kufunga ndo ifikapo July mwaka huu.
Jarida moja maarufu sana la nchini Marekani liitwalo ''Star Magazine''
limeripoti kuwa mastaa hao wana tarajia kufunga ndoa ifikapo July mwaka
huu katika visiwa...
Kama Justin Bieber anaamini kuwa atafika namaba 1 kwenye "Acoustic" Billboard 200, itakuwa ni alama ya mafanikio ya historia ya pili kwa mwimbaji na mtunzi hu...
Kama forecasted wiki iliyopita, rapa $ AP Rokyc ameshika No 1 kwenye chati za Billboard 200 Albamu na albamu yake ya kwanza "Long.Live.A $ AP," kuuza nakala 139,000 na kumfikia Nielsen SoundSc...
Picha za Gari mpya ya Wema Sepetu aina ya Audi Q7 yenye rangi nyeusi zimeonekana kwenye akaunti ya Wema ya Instagram alipokuwa beach hivi karibuni na kuiandikia caption, ‘my baby at da beach.’Pia akaunti ya Martin Kadinda kuna picha ya gari hiyo aliyoiandikia maneno, ‘#maisha sio manhattan…..You...
Hali ni mbaya bwawa linaendelea kujaa majihadi mchana huu Mali na mifugo haikusalimika na bado waathirikawalikuwa wanahangaika kujinusuru
Ni balaa kubwa la mafuriko ya maji hapa Mtwara hii leo maeneo yaMajengo kule eneo la Chuno. Eneo hili ni karibu na nyumba ya MzeeHokororo...
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande
wa Ufaransa katika Ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Champs L’Elyesee
(hutamkwa chanz elezee) jijini Paris leo Januari 21, 20...
SEHEMU ya
ukuta wa kituo cha mabasi ya kwenda mikoani cha Ubungo, jijini Dar es
Salaam, leo alfajiri umeanguka na kuyaharibu vibaya magari zaidi ya
ishirini yaliyokuwa yameegeshwa nje ya eneo hilo. Akizungumza na
waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni,
Charles...