Sunday, December 30, 2012

Saturday, December 29, 2012

Friday, December 28, 2012

Ukweli Kuhusu Lamborghini ya Video ya Naija Girl ya Prezzo

Baada Ya Stori na picha Kusambaa ikimuonesha Prezzo akiwa na Gari la kifahari aina ya Lamborghini Team nzima ya RICHARD KADURI.blogspot.com Tuliona si mbaya Tukatafuta ukweli kuhusu Prezzo na his new Ride.. Gari hilo si la PREZZZO bali mliki halisi ni Msanii toka pande za Nigeria anayetamba na...

Thursday, December 27, 2012

Wednesday, December 26, 2012

Monday, December 24, 2012

Sunday, December 23, 2012

Saturday, December 22, 2012

Friday, December 21, 2012

Wednesday, December 19, 2012

Sunday, December 16, 2012

Monday, December 10, 2012

Cortez Bryant Meneja wa Nicki Minaj Aziponda Nomination za Tuzo za Grammy

Cortez Bryant meneja wa Nicki Minaj ameziponda nomination za Tuzo za Grammy zilizotajwa siku kadhaa zilizopita ikiwa ni siku chache baada ya Meneja wa Justine Bieber Scooter Braun Kuziponda tuzo hizo kwa madai yanayofanana na ya Bryant  Nicki Minaj pamoja na kutoa Album yake mpya hivi karibuni...

Friday, December 7, 2012

Jay-Z, Kanye West, Frank Ocean, Black Keys waongoza Nomination list tuzo za Grammy 2013

Wasanii wa muziki wanowania za ‘Grammy awards 2013’ tuzo ambazo ni maarufu na zenye heshima kubwa Duniani, wametangazwa rasmi jumatano ya tarehe 5, December, Brindgestone Arena huko Nashville, Tennessee. Katika nomination hizo  makundi ya muziki kadhaa na wanamuziki waliopata nafasi ya kutajwa...

Monday, December 3, 2012

 Movie ya ‘Expendable 2’yaburuzwa tena mahakamani, ni baada ya mlipuko wa ukweli uliomuua actor mmoja na kumjeruhi vibaya actor mwingine  Expendable two iliyowashirikisha action movie stars kibao wakiongozwa na Sylvester Stalonne (Rambo), Jean Claude Vanndamme, Jet-Li, Arnold ShwazNiger,...

Sunday, December 2, 2012

GAGA APOSTI PICHA AKIWA NA SIMBA SOUTH AFRICA

Lady Gaga amepata shavu la kutalii vivutio vya Afrika baada ya kudondoka Afrika Kusini alikokuwa kwa ajili ya tour yake na kutembelea mbuga za wanyama Lady Gaga alionesha furaha yake ya kukutana uso kwa uso na kupiga picha na wanyama wakali simba na kupost picha hizo kwenye ukurasa wake wa twitter...

Saturday, December 1, 2012

WANANDOA HATARINI KUAMBUKIZWA VVU

Watu Waanoishi Katika Ndoa Wapo Katika Hatari Kubwa ya Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Kwa Asilimia 70 Kwa Kuwa Ndio Wanaoongoza Kutoka Nje ya Ndoa Hivyo Kusababisha Ongozeko la WatotoYatima Hayo yamesemwa na Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu Aseri Msangi  Katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani Yaliyofanyika Katika kata ya Mji Mwema Katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Akizitaja...