Nicki Minaj pamoja na kutoa Album yake mpya hivi karibuni “Pink Friday: Roman Reloaded.” na Bieber nae kutoka na Albaum na tour yake iliyobamba zaidi 'Believe' na kuonekana kuvutia wengi lakini hawakutajwa kuwania hata category moja mwaka 2013 katika nomination hizo.
Cortez Bryant ambaye pia ni meneja wa Young Money Lil Wayne, Drake na Nicki Minaj aliposti katika mtandao wa kijamii wa twitter kwa kuziita "Bulls***" na alianza kwa hongera lakini akaponda utaratibu wa tuzo hizo “Congrats to @LilTunechi and@Drake and@Hit Boy on their Grammy Noms butt....,
Drake na Lilly Weezy wamekuwa nominated katika collabo yao ya HYFR na The Motto pia Drake binafsi amekuwa nominated kwenye category ya Best Rap Album.
Meneja wa Biebs alitweet, "The hardest thing to do is transition, keep the train moving. the kid delivered. Huge succesful album, sold out tour, and won people over."
Nicki Minaj alikuwa nominated mara tatu katika tuzo hizo mwaka jana lakini lakini hakupata nafasi ya kuchukua tuzo hata moja. Kwa mwaka huu majina makubwa kama Lady Gaga na mwanamuziki kutoka Korea PSY mzee wa ‘Gangnam Style’ ambao watu wengi walitarajia kuonekana katika tuzo lakini hali imekuwa tofauti.
0 Comments:
Post a Comment