Monday, December 10, 2012

Ray C Amshukuru Rais Kikwete kwa Msaada wa Matibabu

Msanii wa Kizazi Kipya Rehema Chalamila 'Ray C'  Akiwa ameambatana  na Mama yake Mzazi Magreth Mtweve na Dada yake Sara Mtweve wamemshukuru Rais Kikwete kwa msaada wa Matibabu na Kumueleza  Kuwa afya ya Mwanae imeimarika na Muda c mrefu ataendelea kupanda jukwaani.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila 'RAY C' akimshukuru Rais Kikwete kwa msaada wa matibabu aliompatia ikulu jijini Dar es Salaam leo.

0 Comments:

Post a Comment