Friday, December 28, 2012

Ukweli Kuhusu Lamborghini ya Video ya Naija Girl ya Prezzo

Baada Ya Stori na picha Kusambaa ikimuonesha Prezzo akiwa na Gari la kifahari aina ya Lamborghini Team nzima ya RICHARD KADURI.blogspot.com Tuliona si mbaya Tukatafuta ukweli kuhusu Prezzo na his new Ride..
Gari hilo si la PREZZZO bali mliki halisi ni Msanii toka pande za Nigeria anayetamba na wimbo wa Skibobo alioshirikishwa mkali wa Bongo AY'(Goldie)

Bwana mkubwa ameazima mkoko huo kwa ajili ya Kushoot video ya wimbo wake wa Naija Girl...

Watu walianza kuhesabu thamani ya mali ya Prezzo kumbe Goldie ni zaidi yake..

0 Comments:

Post a Comment